kotii

kotii

TIA YOTE SEHEMU YA 44

Tangaza nasi ili kukuza biashara yako, Leo. Mawasiliano yetu 0654387935


TIA YOTE 44

GAO

0654387935


ILIPOISHIA
"tumefika shukeni sasa twende tukatembee humo ndani."Shangazi  aliongea akiwa kashatoka sasa kasheshe ni pale nilipo toka mimi nilijistukia Doreen akicheka huku akielekeza vidole kuwaonesha wenzake kwenye suruali yangu....................

ENDELEAAAAAAA...
"hiyo nini mmmh mmh,"walianza kuguma mpaka nikahisi  aibu.
"sasa nini mnacheka mwanichekea niñi"niliongea kiukari hapo nikaangali kwenye suruali yangu eneo la zipu, nilishangaa kuna hali ya kuloa loa sikujali sana.

"twendeni jamami mbona mnavituko wamchekea niñi mwenzenu"alisema shangazi ila wote walibaki kimya tu.
Hapo sasa ndio safari ikaanza kuingia supermarket, tuliiñgia hapo shangazi alitupa uhuru wa kuchagua tutakavyo ila alitupa idadi tu kwa kila mtu.

"Chagueni nguo mzipendazo ila zisizidi sita kwa kila mtu"
"sawa mama"tulitika kwa pamoja hapo Neema akaanza kuchagua nguo zake za kituko za wazi kila mtu alichagua azioendazo mpaka  ilipotimia shangazi alifanya malipo kisha tukarkrkea panapouzwa ice cream.
Baada ya kila kitu kuisha palr shangazi alituita wote kwa pamoja.

"haya wanangu turudini nyumbani nadhani Ester kabaki mpweke huko nyumbani"
"hapana mama si anaangalia tv"Careen alidakia.
"twendeni tu nyumbani kesho shule mkajindae"Shangazi alisema wote tukafatisha moja kwa moja na kuingia ndani ya gari.
alafu akaliwasha kuondoka tukiwa njiani.

"Mwanangu gao nitakufundisha kuendesha gari"
"mama na mimi"
"wewe bado mwanangu"
"hapana mimi napenda utanifundisha tu mama"
"_we nae uking'ang'ania kitu."
"ihiii"alicheka Careen.
"wewe utafundishwa na baba yako."
"mama nataka wewe"
"mmmh, haya sawa nitakufundisha ila ataanza mwanangu gao"
"mama unavyompenda huyo gao"Careen aliteta wivu kidogo.
"hamna wote wanangu nawapenda."
"sawa bhana anza na gao"alijibu kinyonge Careen wakati huo wrnzake wapo kimya wote.
"Mwanangu gao nitakufundisha utakuwa wakwanza."
"kweli mama"
"ndio kweli usijal"
"nitafurahi mana napenda kweli kuendesha gari."nilijibu.
Maongezi yetu yalikatishwa baada ya safari yetu kufika kikomo yani tushafika nyumbani, tupo nje ya geti hapo akapiga honi ya gari iliyomstua ester akaja kutufungulia geti.
Gari ikaingia ndani baada ya kuingua ndani, iliposimama tu nilikuwa wa kwanza kushuka mkononi nikiwa na mfuko wangu wenye nguo.
Ndipo kutembea mbele nikakutana na ester  akielekea ndani nami nikaunga nae aliponiona akasimama kunisubiri.
.

"mambo gao"Ester alinisalimu,tulikuwa mbele, tukiwaacha nyuma wakijinyiosha nyoosha baada ya kushuka kwenye gari.
"poa vip. Mmeburudika huko kwa raha zenu"
"aaah kawaida bwana si tumeenda kutembea tu"
"ndio ila mmeburudikaje."
"kawaida tu usiwaze"Tuliendelea na maongezi,huku tukiingia ndani mimi na Ester tulipoingia kila mtu akajua zake dakika chache mbele nao wakina Neema na Shangazi wakatia team.
"Mwanangu za upweke"
"kawaida mama nishazoea tu kukaa mwenyewe"ESTER alijibu, Baada ya kuulizwa.
"ila nimekuletea zawadi mwanangu, ipo kwenye gari badae nitakutolea."
"sawa mama asante nashukuru"Waliendelea kuongea hapo wakina Neema ,Careen na Doreen wakaelekea chumbani na mizigo yao kwenye mifuko yao ambayo ilikuwa na chapa ya TSN SUPERMARKET.
Walipoingia ndani na mimi sikukaa sana nikaingia ndani nikisubiri muda wa chakula ufike ili nile mana njaa ilikuwa ikiniita.

"chakula tayari msiingie ndani"Ester alisema muda huo masaa yanacheza kwenye saa mbili na dakika zake za kuhesabika kati ya kumi au ishirini kwa kukadilia.
Niliingia tu ndani nikaweke mzigo wangu alafu ndio nitoke niliingia ndani kwangu na kuweka kisha ikanibidi nitoke sasa kw ajili ya kwenda kula.
Wenzangu walisha jumuika pamoja pale mezani hivyo mimi nikawa wa mwisho na upande wenye kiti changu cha kukalia ndio huo huo ambao yupo Doreen alafu ukizingatia sehemu yenyewe ni pembeni kule ya kukaa watu wawili hivyo nilikaa tu.
Nilipo kaa nilimuona anaanza kuwa tofauti akianza michezo yake ya kupakatisha mapaja yangu.

"mama leo nimefurahi kweli tulivyooenda kutembea"alisema Careen.
"kweli mwanangu umefurahi eeh"
"ndio mama natamani ingekuwa kila siku"
"napenda mfurahi wanangu wote nawapenda hata baba yenu anawapenda sana tena kaniambia akirudi atawaleteeni zawadi nzuri wote.
"nitafurahi baba akija si tutaenda kumpokea uwanja wa ndege."
"ndio mwanangu tutaenda."Careen alifurahi sana kuambiwa vile.
Yote yakiendelea Doreen aliendelea uchokozi wake kwangu akinigusa gusa maungo yangu kisiri siri.
Na vile mkono wangu mmoja nilikuwa nikiuweka weka kwenye kiti nilichokalia aliuchukua na kuugusisha mapaja yake.
Nilihisi tutaonewa sasa kwa hali ile mana hakutaka kuachia mkono wangu tena ndio  alikuwa akiupandisha juu zaidi kwenye pindo za chupi.
Sikufurahishwa na kitendo kile kwa wajati ule nilijua fika hapo nitapata aibu shangazi akiona, hivyo nikaamka tu moja kwa moja mpaka kwenye bakuri la kunawia nilianza kunawa.
"vipi mwanangu umeshiba"
"ndio mama asante nishashiba asante."
"mbona haraka au hujapenda chakula cha leo"
"hapana shangazi usiwe na wasi wasi nimeshiba tu nahisi tumbo kujaa"alinihimiza nile shangazo nikikataa, hali ya kuwa nilikuwa na njaa.
Nilipepesha macho na kumuona Doreen amenuna kiasi kule pembeni akionekana hakupenda mimi kuamka nikijifanya nimeshiba.
sikuwa na jinsi nilinawa vizuri kisha nikaelekea koridoni kutazama runinga masaa hayakuwa nyuma nilianza kuangalia weekend movie.
japo nilikuta kati kati, wenzangu waliendelea kula pale mpska wanamaliza.
"gaaao mwanangu"
"naam shangazi"
"njoo uchukue tunda"Aliponiamvia nikaamka haraka kufata hayo matunda ili kujazilia chakula kidogo nilichokula, nikafika mpaka pale kisha nikakabidhiwa bakuri lenye matunda.
Nilisafisha viganya vyangu kuanza kuokota baada ya kuokota vipande kadhaa nikaenda navyo, koridoni kutazama runinga.
hapo ile movie ishaisha ilinibidi niweke TBC  chaneli ya taifa.
Nilipoweka kama bahati kulikuwa na mchezo.
"mimi naenda kulala mtazima taa na kufunga milango"
"swa mama"walijibu wakina Neema alafu wkawaa wanakuja paale kuangalia runinga.
Ester hakuja nikajua fika kaend kulala tu, wakina Careen walipokuja waka kaa nao kuangalia.
" mbona imepooza hivyo hata sio nzuri"
"ndio imepooza kabisa"walisema wakina Neema na Careen.
Nilikaa kimya Doreen akianingalia kwa machale chale.
Movie ilianza sasa kutisha baada ya kifo cha mtoto wa mfalme, ndio watu walianza kufa kijijini hapo hali ile ilikuwa imewatisha wakina Careen na vile ni Waoga sana walianza kuogopa hasa pale watu walipoanza kufa kwa kuchinjwa na viumbe vya ajabu.
"inatisha mimi naoga mmh, naenda kulala"alisema careen huku akiziba uso wake.
"hata mimi pia mmh naogopa siangalii."Neema na Careen walikuwa waoga sana wakiogopa kuota hivyo hawakuendelea kutizama muvi ile ilividi waondoke.
Doreen alionekana kichekelea jambo lile japo haikuwa rahisi kumuona kama anacheka.
Wenzake walipoondoka na  kutuacha wawili tu ilinibidi nna mimi nitake kuondoka ila Doreen Alinivuta nisiondoke kisha akanikumbatia............
ITAENDELEAAAAAAAAAA
 
'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();