kotii

kotii

Chanzo cha Ukimwi: Binadamu alipataje virusi vya Ukimwi?

Wajibu wetu ni kukuhabarisha kukujuza kila kinachojiri katika nyanja zote za burudani na michezo, usikae mbali nasi tembelea kila siku kwa burudani zaidi itakayo kata kiu yako.


Unaweza Kuambukizwa UKIMWI Zaidi Ya Mara Moja?
Hadi mwaka 1994 ilikuwa ikisadikika kuwa haiwezekani kuambukizwa UKIMWI zaidi ya mara moja, lakini baadae watu waligunduliwa waliokuwa na virusi vya UKIMWI vya zaidi ya kundi moja. Mwanzoni nadharia ya kuwa mtu wa aina hii alikuwa ameambukizwa virusi hao kwa mpigo kabla ya mwili wake kuweza kutoa kinga yake. Lakini sasa inafikiriwa kuwa maambukizi ya zaidi ya mara moja yanawezekana na hasa kama virusi hivyo ni vya makundi tofauti ingawa maelezo ya mazingira gani yanayoweza kusababisha hili kutokea hayajapatikana.

Aina Ya Virusi Na Tiba Zake
Dawa za kutibu UKIMWI – antiretroviral drugs (ARV)- wanaotokana na HIV-1, zilitengenezwa mahsusi kwa kutibu virusi wa kundi dogo B, haijathibitishwa kama dawa hii haifanyi vizuri kwa makundi mengine. Dawa zilizotengenenezwa kutibu virusi vya aina ya HIV-1 si zote zinazofanya kazi katika kutibu virusi vya HIV-2, kwa mfano, ARV inayoitwa NNRTI haifai tena kutibu virusi vy aina hii.

Ugumu wa kupata chanzo ya UKIMWI unatokana na uwepo wa aina mbalimbali za virusi na uwingi wa makundi madogo ya virusi hivi. Ugumu huo unachangiwa na kuwepo kwa aina tofauti ya makundi ya watu wanaotofautiana na wanaoupata ugonjwa huu kwa njia tofauti. Na hasa, ukweli kwamba mtu anaweza kuambukizwa ugonjwa zaidi ya mara moja una maana kuwa kinga itakayotolewa kwa kundi moja la virusi haitafanya kazi kwa makundi mengine ya virusi.

VVU Walihamiaje Kwa Binadamu?
Ukweli kwamba virusi wanaweza kuhama kutoka aina moja ya mnyama hadi nyingine ulifahamika kwa miaka mingi sana na binadamu akiwa ni mnyama pia yupo kwenye hatari hiyo ya kupata maambukizi ya virusi kutoka kwa wanyama wengine. Tendo la kirusi kuhamia kutoka mnyama mwingine hadi kwa binadamu huitwa zoonosis.

Baadhi ya nadharia ya jinsi virusi hivi vilivyohamia kwa binadamu na jinsi SIV alivyogeuka na kuwa HIV ni hizi hapa:
Nadharia Ya Mwindaji – The ‘hunter’ theory: Nadharia hii  ndiyo inayokubalika zaid kuliko nyingine. Nadharia hii inaseama kuwa virusi (SIVcpz) walihamia kwa binadamu kwa sababu sokwe waliuliwa na kuliwa au kwa sabau damu ya sikwe hao iliingia kwenye vidonda vya wawindaji hao.

Nadharia Ya Kinga Ya Polio – The oral polio vaccine (OPV) theory: 
Nadharia hii inasema kuwa chanzo cha UKIMWI kilianzia kwenye majaribio ya chanzo ya polio inayoitwa Chat iliyotolewa kwa watu karibu milioni moja wa Kongo, Ruanda na Burundi kwenye miaka ya 1950. Madai ni kuwa chanjo hiyo ilikuzwa ndani ya seli za figo za sokwe waliokuwa wana virusi wa SIVcmz na hivyo watu wengi
kuambukizwa na HIV-1.

Nadharia Ya Sindano – The contaminated needle theory: Hii ni mwendelezo wa nadharia ya mwindaji ambayo inasema kuwa pamoja na kuwa katika miaka ya mwanzo ya1950 sindano za kutumika mara moja zilikuwa zimeshaanza kutumika, katika nchi za Afrika wafanyakazi wa idara za afya waliendelea kutumia sindano moja kwa watu wengi kutokana na idadi kubwa ya sindano
iliyohitajika na gharama yake. Hii inaweza kuwa ilieneza virusi kotoka kwa mtu mmoja (kwa mfano mwindaji) hadi kwa mtu mwingine mwingine na kuruhusu virusi hao kujibadili kutoka aina moja hadi nyingine na kuzaliana.

Nadharia Ya Ukoloni – The colonialism theory: Nadharia ya ukoloni ni mpya na inaendeleza nadharia ya mwindaji na kuelezea ni vipi mambukizi ya mwanzo yaligeuka kuwa janga.

Miaka ya mwisho ya karne ya 19 na ya mwanzo ya karne ya 20 yaliingiza Afrika kwenye ukoloni. Kwenye maeneo ya French Equatorial Africa na Belgian Congo, watawala hawakuwathamini watu waliowatawala na waafrika wengi wakajikuta kwenye makambi ambako hali za usafi zilikuwa duni, chakula kilikuwa kichache na matakwa kwa jumla yalikuwa mengi. Hali hii ilifanya afya ya watu hawa kuwa duni sana hivi kwamba virusi vya SIV viliweza kuwashambulia sana watu hawa. Kwa sababu ya afya yao mbovu, virusi hawa waliweza kubadilika na kuwa HIV. Sokwe aliyekuwa na virusi hivi alipokamatwa na kugeuzwa chakula, aliwaambukiza watu hawa.

Wafanyakazi hawa kwenye makambi walidungwa sindano anbazo hazikuchemshwa kuzuia magonjwa , kama ndui ili waendelee kufanya kazi na katika makambi mengi makahaba waliletwa kuwaburudisha. Watu wengi walikufa kwenye makambi haya hata kabla ya kuonyesha dalli za UKIMWI na huenda taarifa zilifichwa zilizoonyesha kuwa asilimia 50 ya wakazi walikufa kwenye makambi haya. Uwepo wa makambi haya unaendana kabisa na kipindi ambapo UKIMWI unasadidikika kuhamia kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu – miaka ya mwanzo ya karne ya 20.

Nadharia Ya Uangamizaji – The conspiracy theory: Nadharia nyingine inayoaminiwa ni ya uangamizaji au kuwa ni ugojnwa uliotengenezwa. Utafiti wa huko Marekani umeonyesha kuwa Wamarekani Weusi wanaamini kuwa VVU alitengenezwa kama vita ya kibaolojia iliyolenga kuangamiza kundi kubwa la watu weusi na mashoga. Wanaamini kuwa huu ulikuwa ni mpango uliofanywa na shirika la US Federal ‘Special Cancer Virus Program’ (SCVP) likisaidiwa na CIA. Inasadikika kuwa virusi hao walienezwa dunia nzima kwa makusudi au kwa bahati mbaya kupitia mpango wa chanjo ya ndui au kupitia majaribio ya chanzo ya Hepatitis B kwa mashoga. Pamoja na kuwa nadharia kama hii haiwezi kupuuzwa, lakini moja kwa moja inaonekana kujengwa kwa kutumia fikra tu bila kujali mahusiano ya karibu ya SIV na HIV na kwamba UKIMWI umeonyesha kuwepo toka miaka ya 1959.

Mada ya leo ni mfululizo wa mada zinajadili virusi vya UKIMWI na ugonjwa wa UKIMWI. Katika kurasa tofauti tutaona dalili za UKIMWI,  tiba ya ugonjwa huu na kuona matokeo ya wanasayansi kuhusu aina mbalimbali za virusi vya UKIMWI.

Tafadhali ungana nasi kwenye ukurasa wetu wa Facebook wa LINDA AFYA YAKO kupata mfululizo wa mada zetu zinazohusu afya ya mwanadamu na tiba mbalimbali. Usikose kuweka LIKE endapo utafurahishwa na mada hizo.

Kuwa huru kuuliza swali lo lote kuhusu mada hii au kutoa maoni yako. Tutakuwa pamoja katika kujibu maswali yako na kujadili maoni yako.

3 comments:

  1. Mimi ni Devi hapa Hapa kusema Shukrani kubwa kwa DrSagbo Kwa Kufanya Mimi
    Mwanamke Kamili Tena, Niliambukizwa na VVU / UKIMWI Kwa Miaka 5 I
    Umekuwa Ukiombea Kwa Mungu Kwa Kutafuta Kutafuta Tiba. Nilikuja
    Hapa Mwezi wa Mwisho Kutafuta Suluhisho Kwa Matatizo Yangu Na Niliona A
    Maoni ya Watu Wanaongea Kuhusu Madaktari Wengine hasa hasa
    Dk Sagbo Diba Na roho yangu imaniongoza Mimi kuchagua DrSagbo Na mimi
    Aliwasiliana naye, alinituma dawa ya mimea na akaniongoza jinsi mimi
    Itachukua Madawa Kwa Siku 15, Nilifanya Hivyo Na Nitaenda Kwa Mtihani Na
    Matokeo yangu yamekuja kama mbaya. Nimefurahi sana, Niligawana Machozi Ya
    Furaha Na Nimeyichukua Hiyo juu ya Kujipenda Kwa Daima
    Jinsi Mungu alivyotumia Dr.Sagbo Kutatua Tatizo langu.Ni Mke Safi Sasa,
    Bila Virusi Yote, Aliniambia pia anaponya magonjwa Kama VVU, ARTHRITIS,
    DENGE, HEPATITIS, TUMOR, LUCAMIA, CANCER, HERPES, Au Nyingine Yoyote Hatari
    Magonjwa na kutatua matatizo mengine. Unaweza Kuwa na Furaha Kama Mimi Na
    Kuwasiliana na Dk Sagbo na ninaahidi kuwa hutazuni lakini pia
    furaha kama mimi tena kwa kupiga simu na WHATSAPP: +2347019642881
    EMAIL yake: drsagbo6088@gmail.com

    ReplyDelete
  2. Jina langu ni Tatiana am kutoka Luxembourg nina hapa kutoa ushahidi
    jinsi nilivyoponywa na SAGBO DIBA ya virusi vya Hiv virusi ilikuwa ni muujiza,
    Sijawahi kuamini kulikuwa na tiba mpaka nilikutana na mtu huyu mkuu juu ya
    internet, kama wewe ni mgonjwa wa hiv na unataka kupata tiba, jiweke
    pesa kununua dawa, tu kutumia mizizi na mimea ya DR SAGBO Herb
    Kuponya Dawa na kupona ndani ya siku 20, yeye ndiye peke yake
    inaweza kutoa nini inachukua ili kuondokana na virusi vya hiv na virusi vingine
    magonjwa, nimepitia nyakati zenye ngumu, nilikuwa nilipigwa kwa
    $ 2600 kutoka kwa watu tofauti mpaka nilikutana na DR SAGBO ambaye alinipa
    uhakikisho kamili kwamba ndani ya siku 20 virusi zitakwenda na mwili wangu
    mfumo utarejeshwa, kwanza nika shaka, hivyo nitaipatia nafasi, siku chache
    baadaye alipata mtihani na daktari ambaye alithibitisha mimi Hiv NEGATIVE na kufuta.
    Ikiwa wewe ni huko na pia unashuka kupitia kifo changu
    TAFUNA KUSAANA SAGBO MKAZI
    EMAIL ADDRESS: drsagbo6088@gmail.com HATAKAKIWA KIWA KIYO HAKI
    KATIKA UNAFUNA MAFUNZO YAKE YA HERBAL, PETA KUFANYA KATIKA HARUHU
    KUTAA. Ninawahakikishia kuwa utakuwa wa pili kutoa ushahidi.
    WAKUFANYE WOTE KUFANYA KATIKA KUSA KUFUIA
    Aliniambia nina tiba ya:
    Herpes 1 na 2, kiharusi, kansa, Hiv, vidonda vya kizazi,
    Hepatitis B, Pumu, Denge, Ubongo Tumor, Kisukari na mengi zaidi
    Whatsapp na kumwita.
    Simu: +2347019642881
    EMAIL: drsagbo6088@gmail.com

    ReplyDelete
  3. Am Anyah kutoka Singapore. Ninataka kupitisha hili kwa kila mtu ambaye ni mgonjwa wa aina yoyote ya ugonjwa, suluhisho la magonjwa yote ni Dr Sagbo, niliponwa na mtu huyu Mheshimiwa Sagbo mponya mkuu baada ya kupita kwa maumivu. Sijui kamwe nitaponywa ugonjwa huu wa Hiv katika maisha yangu kwa sababu walisema hakuna tiba. Ninajaa msisimko na nina kutumia hii kati ili kukujulisha kuwasiliana na mtu huyu kwa aina yoyote ya ugonjwa na yuko tayari kusaidia kutatua tatizo lako. Ikiwa unapitia magonjwa yoyote kwa njia ya kumsiliana naye kwa njia ya barua pepe yake: drsagbo6088@gmail.com. Ninaweka ahadi yangu kwa kugawana ushuhuda huu ninawahakikishia wale wote ambao walisema kuwa hakuna tiba mbaya ya sababu nimekuwa tubiwa na dawa za dawa za Dr Sagbo mponyaji mkuu, lengo langu ni kushika ushuhuda juu ya kile ambacho Mungu ametumia wewe kufanya katika maisha yangu. Piga simu na nambari hii na whatsapp yake kwenye +2347019642881.

    ReplyDelete

'; (function() { var dsq = document.createElement('script'); dsq.type = 'text/javascript'; dsq.async = true; dsq.src = '//' + disqus_shortname + '.disqus.com/embed.js'; (document.getElementsByTagName('head')[0] || document.getElementsByTagName('body')[0]).appendChild(dsq); })();